Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha raia wa Ubelgiji Patrick Aussems, ameondoka AFC Leopards ya Kenya baada ya kutangaza rasmi kutoongeza mkataba wake na klabu hio aliyodumu miaka mitatu.
Kocha raia wa Ubelgiji Patrick Aussems, ameondoka AFC Leopards ya Kenya baada ya kutangaza rasmi kutoongeza mkataba wake na klabu hio aliyodumu miaka mitatu. Aussems aliwahi kuifundisha Simba kwa mafanikio ikiwa ni pamoja na kuiongoza kufuzu hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili katika historia
Chanzo: www.tanzaniaweb.live