Thu, 11 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipindi cha pili kimeanza kwa kila timu kufanya mabadiliko kadhaa kwa namna walimu walivyoona.
Stars walifanya mashambulizi kwa nguvu katika lango la DR Congo, wakitafuta bao la kusawazisha.
Dakika ya 64 DR Congo wanapata bao la pili likifungwa na mlinzi Nathan Fasika baada ya kuanzishwa kwa kona fupi na kuitumia vyema.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live