Wed, 27 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha wekundu wa Msimbazi kitakachoanza dhidi ya Polisi Tanzania kimetolewa, ambapo watakuwa na kibarua cha kusaka alama tatu dhidi ya vinara wa Ligi Polisi Tanzania.
Mchezo huo utapigwa katika dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaam, na unatarajiwa kuwa na ushindani mkali kutokana na Polisi Tanzania kuwa katika kiwango bora kwa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live