Juzi mechi ya kufuzu EURO kati ya Belgium dhidi ya Sweden iliahairishwa baada ya Wachezaji kugoma kurejea Uwanjani kipindi cha Pili huku ubao wa matokeo ukisoma 1-1 hadi Mapumziko, kutokana na kile walichofanyiwa mashabiki wawili wa Sweden kwa Kuuwawa kwa kupigwa risasi UEFA imesema mechi hiyo haitarudiwa na matokeo yatabaki 1-1.
Juzi mechi ya kufuzu EURO kati ya Belgium dhidi ya Sweden iliahairishwa baada ya Wachezaji kugoma kurejea Uwanjani kipindi cha Pili huku ubao wa matokeo ukisoma 1-1 hadi Mapumziko, kutokana na kile walichofanyiwa mashabiki wawili wa Sweden kwa Kuuwawa kwa kupigwa risasi UEFA imesema mechi hiyo haitarudiwa na matokeo yatabaki 1-1.