Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA limethibitisha kuwa penati waliyoipata PSG dhidi ya Newcastle usiku wa Jumanne ilikosewa.
Ofisa wa VAR ambaye alisimamia tukio hilo ameondolewa kwenye orodha ya mechi zijazo za mashindano hayo.
PSG walinufaika na penati hiyo dakika ya mwisho ya mchezo huo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1
Chanzo: www.tanzaniaweb.live