Wed, 21 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa sasa wa Simba SC, Murtaza Ally Mangungu pamoja na Makamu Mwenyekiti wa zamani, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ ni miongoni mwa wagombea walioitwa kwenye usaili kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa klabu mapema mwakani.
Hii hapa taarifa kwa urefu;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live