Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake (Twiga Stars) imefuzu Michuano ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON 2024) inayotarajiwa kufanyika nchini Morocco.
Twiga imepata mafanikio hayo licha ya kufungwa magoli 2-0 na Togo katika mchezo wa marudio jana Desemba 5, 2023 lakini katika matokeo ya jumla Twiga imeshinda 3-2.
Twiga ilishiriki WAFCON kwa mara ya mwisho Mwaka 2010 nchini Afrika Kusini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live