Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Bayern, Thomas Tuchel ataondoka ndani ya Klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu ( mwezi Juni ).
Maamuzi hayo yamefikiwa kwa pamoja baina ya pande zote mbili yaani kocha na klabu.
Wakati maamuzi hayo yakitokea, Kocha wa Bayern Liverkusen, Xabi Alonso amekuwa dhahabu.
Liverpool na Bayern Munich wote wanahitaji awe kocha wao kuanzia 2024/25 .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live