Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel amepanga kurejea kama kocha wa Chelsea pindi atakapoondoka majira ya joto kwa wakali hao wa Ujerumani.
Kocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel amepanga kurejea kama kocha wa Chelsea pindi atakapoondoka majira ya joto kwa wakali hao wa Ujerumani. Mbali na Chelsea lakini pia kocha huyo wa Ujerumani anavutiwa sana na Manchester United na Barcelona kujiunga nazo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live