Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Traole, Yanga mambo safi

Aziz Guede Pacome Yao Traole A0001 Traole, Yanga mambo safi

Sat, 27 Apr 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Siku za hivi karibuni Wakala Zambro Traore aliwasili Nchini Tanzania ili kuja kujadili Kandarasi za Wachezaji wake Ususani Stephen Azizi KI ambaye kandarasi yake Inaishia Mwezi Juni Mwaka huu 2024.

Zambro Traore aliyehusika kwenye Mchakato wa Kumuuza Fiston Kalala Mayele Kwenda Pyramids kwa dau nono Amekuwa na Mahusiano mazuri na Klabu ya Yanga kwani anawachezaji 4 katika Klabu ya Yanga.

Stephen Azizi KI

Pacome Zouazoa

Yao Koussi

Joseph Guede

Kwa taarifa zilizonifikia Stephen Azizi Ki kashasaini Kandarasi Nyengine ya Kuweza Kumbakiza Yanga kwa Msimu Miwili 2024/27.

“Ndiyo, Mkataba wake (Aziz Ki) utamalizika Juni. Baada ya hapo atakuwa huru - Mchezaji huru, na muda huu ninavyoongea na wewe, Nipo Tanzania kwa sababu klabu (Yanga) imeniruhusu nije kufanya majadiliano”

“Wanataka kumuongezea Mkataba. Wametupa na ofa, ambayo wamenitumia ili kuongeza mkataba wake” Zambro Traore.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live