Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tottenham Hotspur inaweza kukabiliwa na adhabu ya kupunguzwa point baada ya uchunguzi kubaini kuwa sheria zilivunjwa katika uhamisho wa Jermain Defoe kwenda Portsmouth kwa ada ya pound million £7.5m mwaka 2008
FA imesema iko tayari kakagua ushahidi wowote mpya katika kesi hii.
Katika mwaka huo huo wa uhamisho wa Defoe, Luton alikatwa alama 10 kwa kuvunja kanuni za wakala.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live