Tue, 30 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Tottenham Hotspur ni timu ya 16 kufungwa mabao mengi zaidi (50+) katika Ligi Kuu England msimu huu.
Klabu ya Tottenham Hotspur ni timu ya 16 kufungwa mabao mengi zaidi (50+) katika Ligi Kuu England msimu huu. Hii ni idadi kubwa zaidi ya mabao timu hiyo kufungwa katika msimu wa ligi hiyo yenye timu 20 tangu msimu wa 1909-10.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live