Wed, 15 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Timu Taifa ya Ujerumani anayekipiga Real Madrid, Toni Kroos ameamua kuendelea kuongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaomuwezesha kusalia Santiago Bernabeu kwa mwaka mmoja zaidi.
Kiungo wa zamani wa Timu Taifa ya Ujerumani anayekipiga Real Madrid, Toni Kroos ameamua kuendelea kuongeza mkataba mpya wa mwaka mmoja utakaomuwezesha kusalia Santiago Bernabeu kwa mwaka mmoja zaidi. Awali ilidaiwa staa huyo mwenye umri wa miaka 33, angeondoka klabuni hapo baada ya mkataba wake wa sasa kumalizika mwishoni mwa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live