Sat, 10 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ujerumani inajaribu kumshawishi Kroos arejee katika timu ya taifa kucheza EURO 2024. Kroos analifikiria hilo.
Ujerumani inajaribu kumshawishi Kroos arejee katika timu ya taifa kucheza EURO 2024. Kroos analifikiria hilo. Toni Kroos mshindi wa kombe la dunia mwaka 2014 kule nchini Brazil alitangaza kustaafu timu ya taifa July 2, 2021 baada ya michezo 106.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live