Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mara baada ya mzunguko wa tisa kumalizika hizi ni ndio timu zilizoruhusu kufungwa magoli mengi ndani ya ligi kuu ya NBC kwenye msimu huu wa 2023/24.
▫️Mtibwa sugar - 16
▫️Tanzania Prisons - 15
▫️Ihefu Fc - 12
▫️Simba SC - 11
▫️KMC Fc - 11
▫️JKT Tanzania - 11
▫️Singida Big Stars - 11
▫️Geita Gold - 11.
Ikumbukwe pia klabu ya JKT Tanzania, KMC Fc na Simba Sc ni miongoni mwa timu ambazo zimeruhusu magoli kuanzia matano ndani ya mechi moja na wote wamefungwa na Yanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live