Thu, 2 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Miongoni mwa viwanja vitano vigumu kwenye UEFA Champions League ni Signal Iduna Park nyumbani kwa Borussia Dortmund
Hadi sasa Dortmund imefikisha mechi 11 kucheza katika uwanja wao wa nyumbani bila kufungwa [unbeaten].
◎ 31 - Man City
◎ 15 - Bayern Munich
◎ 12 - Real Madrid
◉ 11 - Borussia Dortmund.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live