Kwa mujibu wa Transfer Market, kikosi cha Mamelodi Sundowns ndio kikosi chenye thamani kubwa zaidi Afrika kwa sasa
Hii ni top 5 ya Klabu zenye mpunga mrefu na kufanya uwekezaji mkubwa zaidi , note muhimu ni kwamba
1 Kwenye Klabu hizi tano ni mbili tu ambazo zimeingia Robo Fainali CAFCL msimu huu .
2 Tano bora inaundwq na klabu za mataifa mawili tu [ Afrika Kusini na Misri]
3 Bajeti ya baadhi ya klabu za hapa nyumbani kwenye usajili ni thamani ya mchezaji mmoja tu na pengine thamani ya mchezaji kutoka 5 bora ni kubwa kuzidi fungu la usajili kwa baadhi ya Klabu zetu.
4 Timu yenye mchezaji ghali zaidi ,haikuwepo kabisa kwenye CAFCL
TOP FIVE
1. Mamelodi Sundowns. Kikosi kina thamani ya €33.15 Milioni sawa na Tsh 91,931,455,687 [ Bilioni 91]
Mchezaji Ghali zaidi ni Marcelo Allende €2.30 milioni sawa na Tsh6,378,351,375 [ Bilioni 6]
2.Al Ahly. kikosi kina thamani ya €32.48 milioni sawa na Tsh90.073,414,200 [ Bilioni 90]
Mchezaji Ghali zaidi ni Aliou Dieng €4.50m sawa na Tsh12,479,383,125 [ Bilioni 12]
3 Pyramids FC Kikosi kina thamani ya: €22.30 milioni sawq na Tsh61,842,276,375 [ Bilioni 61]
Mchezaji Ghali zaidi ni Ramadhan Sobhi €3.00 milioni sawa na Tsh8,319,588,750 [Bilioni 8]
4 Orlando Pirates. Kikosi kina thamani ya €20.20 milioni sawa na Tsh56,018,564,250 [ Bilioni 56]
Mchezaji Ghali zaidi ni Monnapule Saleng €1.30 milioni sawa na Tsh3,605,155,125 [ Bilioni 3]
5 Zamalek SC. Kikosi kina thanani ya € 19.55 sawq na Tsh54,215,986,687 [Bilioni 54]
Mchezaji Ghali zaidi: Ahmed Sayed "Zizo" € 5.00 milioni sawa na Tsh13,865,981,250 [Bilioni 13]