Fri, 17 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 15 imeibuka mshindi wa tatu katika michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) baada ya kuifunga Sudan Kusini kwa bao 1-0.
Mchezo huo wa kutafuta mshindi wa tatu umefanyika uwanja wa FTC Njeru uliopo katika jiji la Jinja, Uganda.
FULLTIME
SUDAN KUSINI 0️⃣ - 1️⃣ Tanzania Kaniki mfungaji ni Selemani⚽ dakika ya 45+2'.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live