Wed, 1 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Klabu ya Tottenham Hotspur Timo Werner, atakuwa nje ya uwanja kwa muda wote wa msimu uliosalia.
Meneja wa kikosi hicho Ange Postecoglou amethibitisha taarifa hizo huku akitaja jeraha la misuli ya paja kama sababu kuu za matatizo ya mshambuliaji huyo machachari.
"Zimesalia wiki mbili na nusu ili atakosa msimu uliosalia" alisema amesema Postecoglou.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live