Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Timo Werner, anaweza kurejea kwenye Ligi ya Uingereza mwezi Januari baada ya RB Leipzig kutangaza kuwa ataruhusiwa kuondoka katika klabu hiyo katika dirisha la majira ya baridi.
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Timo Werner, anaweza kurejea kwenye Ligi ya Uingereza mwezi Januari baada ya RB Leipzig kutangaza kuwa ataruhusiwa kuondoka katika klabu hiyo katika dirisha la majira ya baridi. Lepzig waliamua kumrudisha Werner baada ya kushindwa kuapata nafasi Chelsea lakini ameonekana sio chaguo lao tena kwa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live