Sat, 25 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Bayern Munich imethibitisha kumfuta kazi kocha Julian Nagelsmann na kumtangaza aliyekuwa kocha wa Chelsea, Thomas Tuchel kuwa kocha mkuu klabuni hapo.
Tuchel amesaini mkataba wa kuitumikia klabu hiyo hadi 30 Juni 2025.
Tuchel amewahi kufundisha Klabu ya Borussia Dortmund ambaa ni wapinzani wa Bayern Munich.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live