Tue, 21 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Bayern Munich na Timu ya Taifa ya Ujerumani Thomas Müller ameamua kuwa hatastaafu mwishoni mwa msimu .
Bila shaka nataka kucheza kwa mwaka mwingine zaidi ya 2024. Bado nafurahia kuwa uwanjani!", aliiambia BILD
Thomas Muller ni mchezaji ambae amekulia katika Timu za vijana za Bayern Munich na amebeba kila aina ya taji kwa ngazi ya klabu akiwa na Bayern
Chanzo: www.tanzaniaweb.live