Thu, 24 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Denmark imethibitisha kuwa kiungo Thomas Delaney amepata jeraha la goti wakati wa sare ya 0-0 dhidi ya Tunisia siku ya Jumanne hivyo atakosa sehemu iliyosalia ya michuano ya kombe la Dunia 2022.
Denmark imethibitisha kuwa kiungo Thomas Delaney amepata jeraha la goti wakati wa sare ya 0-0 dhidi ya Tunisia siku ya Jumanne hivyo atakosa sehemu iliyosalia ya michuano ya kombe la Dunia 2022. “Tutamkosa nje na ndani ya uwanja. Wachezaji wengine wapo tayari na tuna kikosi imara kwa ajili ya mechi zajazo,” amesema kocha wa Denmark, Kasper Hjulmand.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live