Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa zamani wa Arsenal na Barcelona Thierry Henry tangu apewe kibarua cha kuifundisha timu ya Taifa ya Ufaransa U21 amekuwa na muendelezo wa matokeo bora.
Rekodi za Henry ni;
4-1 dhidi ya Denmark
4-0 dhidi ya Slovenia
2-1 dhidi ya Bosnia
9-0 vs Cyprus
Michezo 4
Magoli ya kufinga 19
Magoli ya kufungwa 2
Mwamba ameanza vyema kazi yake
Chanzo: www.tanzaniaweb.live