Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Thiago Silva ni mchezaji wa nne tofauti kufunga bao kwenye Ligi Kuu England akiwa na umri wa miaka 39 au zaidi, sambamba na Teddy Sheringham, Dean Windass na Ryan Giggs.
Thiago Silva ni mchezaji wa nne tofauti kufunga bao kwenye Ligi Kuu England akiwa na umri wa miaka 39 au zaidi, sambamba na Teddy Sheringham, Dean Windass na Ryan Giggs. Chelsea inajiandaa na mchezo wa Ligi Kuu England na itakuwa ugenini dhidi ya Newcastle Novemba 25.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live