Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa ni kwamba, kocha mkuu wa klabu ya Bologna FC Raia wa Italy Thiago Motta ndie atakaekuwa kocha mkuu wa klabu ya Juventus msimu ujao pindi kocha mkuu wa Sasa Maximiliano Allegri atakapoondoka rasmi mwisho wa msimu ujao.
Taarifa ni kwamba, kocha mkuu wa klabu ya Bologna FC Raia wa Italy Thiago Motta ndie atakaekuwa kocha mkuu wa klabu ya Juventus msimu ujao pindi kocha mkuu wa Sasa Maximiliano Allegri atakapoondoka rasmi mwisho wa msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live