Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Coastal Union wametangaza kuachana na wachezaji Mahmoud Mroivilli , Emery Nimubona , Joseph Zziwa,Aidha wamewashukuru kwa utumishi wao ndani ya klabu na kuwatakia kila la kheri katika maisha yao nje ya Coastal union.
Coastal Union wametangaza kuachana na wachezaji Mahmoud Mroivilli , Emery Nimubona , Joseph Zziwa,Aidha wamewashukuru kwa utumishi wao ndani ya klabu na kuwatakia kila la kheri katika maisha yao nje ya Coastal union.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live