Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwalimu na Mchambuzi wa Soka Mpwa Lukinja Tigana anasema kwa aina ya Kikosi cha Simba na mipango ya Kocha kwake ilikuwa vizuri sana.
Tigana anasema mpango alioingia nao Kocha Robertinho haukuwa na mapungufu kwa sababu alipaswa kuingia hivyo dhidi ya Timu tishio kama Al Ahly.
Huyu Hapa Ticha akifafanua kauli yake;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live