Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wagosi wa Kaya kutoka Tanga, Coastal Union SC wamekamilisha usajili wa Beki wa kati wa Simba SC, Kennedy Juma Wilson kwa ajili ya kuziba pengo la Beki wao Lameck Lawi ambaye ameondoka klabuni hapo na kujiunga na Simba SC.
Wagosi wa Kaya kutoka Tanga, Coastal Union SC wamekamilisha usajili wa Beki wa kati wa Simba SC, Kennedy Juma Wilson kwa ajili ya kuziba pengo la Beki wao Lameck Lawi ambaye ameondoka klabuni hapo na kujiunga na Simba SC. Coastal Union wanajiandaa kwa ajili ya msimu mpya wa Mashindano pia watashiriki Kombe la Shirikisho Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live