Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tetesi: Dube amalizana na Azam FC, sasa huru kutua Yanga

PRINCE DUBE MSH Tetesi: Dube amalizana na Azam FC

Fri, 21 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mshambuliaji ambaye ni raia Zimbabwe, Prince Dube amekamilisha kulipa fidia zote alizokuwa akidaiwa na klabu ya Azam ili akatafute changamoto sehemu nyingine.

Mshambuliaji Prince Dube anasubiri barua ( Release Letter ) kutoka Azam baada ya kukamilisha malipo hayo, ameshetumiwa ujumbe kuwa atapewa barua hiyo mwanzoni mwa wiki ijayo.

Prince Dube anahitaji kubaki Tanzania kucheza moja ya klabu za Kariakoo kuelekea msimu ujao kwenye michuano mbalimbali ya ndani na ya CAF kwa 2024/25.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live