Sat, 17 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United haipo tayari kutumia kifungu cha chaguo la nyongeza ya mwaka mmoja kwenye mkataba na Mlinda mlango David De Gea kwa kuwa Meneja Eric Ten Hag anataka kumsajili nyanda mwingine.
Manchester United haipo tayari kutumia kifungu cha chaguo la nyongeza ya mwaka mmoja kwenye mkataba na Mlinda mlango David De Gea kwa kuwa Meneja Eric Ten Hag anataka kumsajili nyanda mwingine. Mkataba wa De Gea Manchester unaisha mwisho wa msimu lakini Mashetani hao Wekundu walikuwa na chaguo la kumuongeza Mhispania huyo mwaka mmoja zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live