Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ten Hag asakwa Ujerumani, Uholanzi

Man Utd 'moja Ya Timu Zinazoburudisha' Ligi Ya Premia   Ten Hag Kocha wa Man United, Erik Ten Hag

Mon, 20 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Bayern Munich na Ajax wanaendelea kupigania sahihi ya Erik ten Hag, wakiwa na imani kwamba atafutwa kazi kama meneja wa Manchester United mwishoni mwa msimu.

Munich wanatafuta mrithi wa Thomas Tuchel baada ya kocha huyo wa zamani wa Chelsea kuthibitisha kuwa ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu baada ya mazungumzo ya kumshawishi kubakia kuvunjika.

Kwa upande wa Ajax wanataka kumrudisha Ten Hag jijini Amsterdam baada ya Graham Potter (kocha wa zamani wa Chelsea) kukataa ofa ya kwenda kufanya kazi jijini Amsterdam.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live