Thu, 17 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wanapanga kumbadilisha fowadi wa Ureno Cristiano Ronaldo, 37, na kumchukua mshambuliaji wa Paris St-Germain mwenye umri wa miaka 23 Kylian Mbappe.
Manchester United wanapanga kumbadilisha fowadi wa Ureno Cristiano Ronaldo, 37, na kumchukua mshambuliaji wa Paris St-Germain mwenye umri wa miaka 23 Kylian Mbappe. Mkufunzi wa United Erik ten Hag amesema Ronaldo hatakiwi kuichezea tena Manchester United kufuatia mahojiano yake na Piers Morgan.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live