Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ten Hag: De Gea bado yupo sana Man United

David De Gea Record De Gea bado yupo sana Man United

Tue, 9 May 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kocha Mkuu wa Manchester United, Eric Ten Hag amesema kuwa klabu hiyo itamuongezea mkataba kipa wao namba moja, David de Gea kwani ameonyesha kiwango kizuri katika msimu huu.

Ten Hag amesema hayo baada ya mchezo wa juzi dhidi ya Westham ambapo United walipoteza mchezo huo 1-0.

"Tunamtaka abaki na tunataka aongeze mkataba, yeye ndiye kipa mwenye clean sheet nyingi zaidi kwenye Premier League tusingekuwa hapa katika nafasi hii bila yeye.

Naamini hakuna wasiwasi inatokea kama timu lazima ukabiliane nayo, uonyeshe tabia, uwe mvumilivu,” amesema Hag.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: