Fri, 24 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amethibitisha kuwa kiungo wao Aurélien Tchouaméni ataukosa Mchezo wa Fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Dortmund kutokana na majeraha yanayomkabili.
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amethibitisha kuwa kiungo wao Aurélien Tchouaméni ataukosa Mchezo wa Fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Dortmund kutokana na majeraha yanayomkabili. Tchouaméni Bado anajiweka fiti kwaajili ya kushiriki michuano ya EURO 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live