Dakika 90 zinamalizika kwa kuwahakikishia Simba Sports Club nafasi ya kufuzu kwa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika.
Simba wanapita katika mtanange huo kwa ushindi wa jumla wa magoli 4-2, licha ya hii leo kupoteza kwa mabao 2-1 ugenini.
Tazama magoli yote yaliyofungwa katika mchezo huu wa leo.
#CAFCC Hiki hapa chuma cha Rick Banda kwa Aishi Manula.
— Azam TV (@azamtvtz) December 5, 2021
HT: Red Arrows 1-0 Simba (Agg: 1-3).
LIVE #AzamSports1HD #CafConfederationCup #CAFCC #SimbaSC #RedArrows #SimbaZambia #SimbaRedArrows #SimbaVsRedArrows pic.twitter.com/DlxCuyXsFA
#CAFCC Goli la Hassan Dilunga likifufua matumaini kwa ‘Mnyama’
— Azam TV (@azamtvtz) December 5, 2021
90’: Red Arrows 2-1 Simba (Agg: 2-4).
LIVE #AzamSports1HD #CafConfederationCup #CAFCC #SimbaSC #RedArrows #SimbaZambia #SimbaRedArrows #SimbaVsRedArrows @SimbaSCTanzania pic.twitter.com/zuTs40WXwz