Dodoma Jiji wamekubali kichapo cha magoli 2-0 kutoka kwa watoza ushuru wa Manispaa ya Mbeya.
Tazama magoli yote ya liyofungwa katika mchezo huo hapa chini
#NBCPL Goli la Mbeya City likiwa ni la kujifunga kupitia kwa golikipa Hussein Masalanga.
— Azam TV (@azamtvtz) December 6, 2021
68’: Mbeya Jiji 1-0 Dodoma Jiji
LIVE #AzamSports1HD#NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #MbeyaCityVsDodomaJiji #MbeyaCity #DodomaJiji pic.twitter.com/RRWND8glKc
#NBCPL Goli la pili limetoka kwa ‘Baba Paroko’, Paul John Nonga…. Assist tamu ya Frank Ikobela.
— Azam TV (@azamtvtz) December 6, 2021
FT’: Mbeya Jiji 2-0 Dodoma Jiji#AzamSports1HD #NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #MbeyaCityVsDodomaJiji #MbeyaCity #DodomaJiji pic.twitter.com/zTMXYNXC45