Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa 4-1 dhidi ya Geita Gold FC kwenye muendelezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara.
Ushindi huo umeisadia Simba SC kupunguza bao moja kwenye tofauti ya wastani wa mabao ya kufunga na kufungwa kati yao na Azam FC ambao mapema walipata ushindi muhimu ugenini kwa kuizaba JKT Tanzania 2-0 na sasa wameweka tofauti ya wastani wa mabao 5 na Simba SC waliofungana nao alama wote wakiwa na alama 63,Azam FC kwenye nafasi ya pili na Simba SC wakisalia wa tatu
Timu hizo zote zimebakiza michezo miwili.
Klabu ya Simba bado ina matumaini ya kushika nafasi ya pili baada ushindi mnono wa bao 4-1 dhidi ya Geita Gold na kufikisha point 63 sawa na Azam aliekua na nafasi ya pili , wametofautiani kwenye magoli ya kufunga na kufungwa.
#NBCPL Goli la Geita Gold; Goli la Geofrey Julius.
— Azam TV (@azamtvtz) May 21, 2024
48': Simba 1-1 Geita Gold.
LIVE #AzamSports1HD#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold pic.twitter.com/L8mpAyIMDL
#NBCPL Penati; Goli kwa Simba; Goli la nane kwa Saido kwenye ligi msimu huu…..
— Azam TV (@azamtvtz) May 21, 2024
50’: Simba 1-1 Geita Gold
LIVE #AzamSports1HD#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold pic.twitter.com/txWBIbe7cB
#NBCPL Goli la pili…. Free-Kick kutoka kwa Saidi Ntibazonkiza…. !!!
— Azam TV (@azamtvtz) May 21, 2024
FT: Simba 4-1 Geita Gold#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold pic.twitter.com/HQu9Kf7cux
#NBCPL Goli la tatu ni Ladaki Juma Chasambi….. Assist ni Willy Onana….Tazama ‘move’
FT: Simba 4-1 Geita Gold#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold pic.twitter.com/rVj4aWfgaL
— Azam TV (@azamtvtz) May 21, 2024
#NBCPL Goli la nne ni la tatu kwa Ladaki Chasambi kwenye ligi kuu msimu huu….
— Azam TV (@azamtvtz) May 21, 2024
FT: Simba 4-1 Geita Gold#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold pic.twitter.com/cQv3gYH0uq
#NBCPL Goli la nne ni la tatu kwa Ladaki Chasambi kwenye ligi kuu msimu huu….
— Azam TV (@azamtvtz) May 21, 2024
FT: Simba 4-1 Geita Gold#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #SokaLetuBambam #SokaLetuDamdam #SimbaSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold pic.twitter.com/cQv3gYH0uq