Simba wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Kombe la Azam Sports Federation Cup, mchezo ambao umemalizika muda mchache uliopita katika uwanja wa Benjamin Mkapa Dar.
Goli pekee na la ushindi kwa Simba limefungwa na Kibu Denis 27' baada ya makosa ya mlinzi wa JKT Tanzania.
Tazama hapa video hapa chini, kuona goli hilo lilivyofungwa;
40’ | ASFC : Hili hapa goli la kutangulia la Simba SC, likiwekwa nyavuni na Kibu Denis
— Azam TV (@azamtvtz) December 14, 2021
Kibu Denis 27’
Simba SC 1-0 JKT Tanzania
Tuko LIVE #AzamSports1HD#AzamSports1HD #ASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishLaAzamSports #SimbaSCVsJKTTanzania pic.twitter.com/eVwseUSk51