Tue, 30 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Goli la pili la Yanga limewekwa kimiani na Fiston Mayele, ikiwa ni goli la pili kwa Yanga na goli la tatu kwa Fiston Mayele kwenye ligi msimu huu.
Mayele amefunga bao hilo akimaliza kwa uzuri pasi iliyoelekezwa kwake na kiungo Fei Toto.
Tazama video hapa chini;
#NBCPLUpdates Goli la pili kwa Yanga; Goli la tatu kwa Fiston Mayele kwenye ligi msimu huu.
— Azam TV (@azamtvtz) November 30, 2021
50’: Mbeya Kwanza 0-2 Yanga.
LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #MbeyaKwanza #YangaSC #MbeyaKwanzaYanga pic.twitter.com/wd5KSYpPaD
Chanzo: www.tanzaniaweb.live