Wed, 1 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Goli la Pili la Wekundu wa Msimbazi limewekwa kimiani na wachezaji ambao wametokea benchi na huo ulikuwa mpira wao wa kwanza kugusa.
Goli la Pili la Wekundu wa Msimbazi limewekwa kimiani na wachezaji ambao wametokea benchi na huo ulikuwa mpira wao wa kwanza kugusa.
#NBCPL Goli la pili kwa Simba…… Ilikuwa ni muungano wa Bernard Morrison na Mzamiru Yassin, wote wakitokea benchi.
— Azam TV (@azamtvtz) December 1, 2021
FT’: Simba 2-1 Geita Gold.
#NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #SimbaSC #SSC #GeitaGoldFC #SimbaGeitaGold @SimbaSCTanzania pic.twitter.com/2jTdvhZCVt
Chanzo: www.tanzaniaweb.live