Wed, 8 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba kimewasili kutokea Lusaka nchini Zambia kilikokwenda kucheza mchezo wa marudiano kufuzu kwa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika.
Ujio huo wa Simba ni ishara tosha kuwa Disemba 11 shughuli haitakua ndogo pale watakapomenyana na watani wao wa Jadi Yanga.
Tazama video hapa chini namna timu ya Simba ilivyowasili;
???? Kikosi kimetua salama nchini. #NguvuMoja pic.twitter.com/ouokArqlCr
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) December 7, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live