Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Anthony Taylor atarejea kwenye Premier League wikendi hii kuchezesha pambano la Chelsea dhidi ya Manchester City.
Anthony Taylor atarejea kwenye Premier League wikendi hii kuchezesha pambano la Chelsea dhidi ya Manchester City. Anthony Taylor alisimamishwa kwa muda baada ya uamuzi wake mbaya wa kuwapa Newcastle penalti katika sare ya 2-2 dhidi ya Wolves wikiend iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live