Sat, 23 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi wa Tanzania, Tatu Malogo ameteuliwa na CAF kuwa miongoni mwa waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu Fainali ya Mataifa Afrika kwa Wanawake WAFCON, Botswana dhidi ya Gabon utakaochezwa Septemba 26,2023.
Mwamuzi wa Tanzania, Tatu Malogo ameteuliwa na CAF kuwa miongoni mwa waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu Fainali ya Mataifa Afrika kwa Wanawake WAFCON, Botswana dhidi ya Gabon utakaochezwa Septemba 26,2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live