Mon, 17 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Geita Gold FC imefanikiwa kupata Saini ya Kiungo mkabaji Tariq Simba kutokea Polisi Tanzania kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2025,
Klabu ya Geita Gold FC imefanikiwa kupata Saini ya Kiungo mkabaji Tariq Simba kutokea Polisi Tanzania kwa mkataba wa miaka miwili hadi 2025, Tariq Simba amejiunga na Geita Gold baada ya Polisi Tanzania kushuka daraja msimu uliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live