Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Sports Pesa, Tarimba Abbas ametupa kijembe kwa Wapinzani wao wa Jadi Simba SC wakati wa hafla ya kuipongeza Klabu ya Yanga ambao ndio wadhamini ya Klabu hiyo.
Akizungumza Katika Hafla hiyo Tarimba anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live