Mon, 1 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambulizi wa zamani wa Chipolopolo na Orlando Pirates, Justin Shonga amefariki dunia.
Naibu Msemaji wa Polisi wa Zambia Dan Mwale amethibitisha katika mahojiano na Timu ya FAZ Media.
Mwale alisema Shonga alifariki dunia katika Hospitali ya Polisi Sikanze baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live