Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kiungo mzuiaji wa Simba SC , Taddeo Lwanga amefiwa na baba yake mzazi nchini Uganda jana.
Thadeo ambaye ni raia wa Uganda amesikitika kumpoteza baba yake na kuandika ujumbe “Umepigana vizuri sana. Baada ya upasuaji 5 ndani ya miezi 2, ulikuwa bado unaendelea na unaendelea kuwa na nguvu. Roho yako ipumzike kwa amani Baba,“ aliandika kiungo huyo.
Lwanga atakumbukwa na manazi wa Simba SC katika mechi ya Watani wa Jadi iliyochezwa Kigoma kwa kufunga bao 1-0 mchezo wa Fainali ya Azam Sports Federation.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live