Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' itacheza mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Djibouti Oktoba 8, 2023 katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar na kurudiana Oktoba 11 katika uwanja huohuo.
Timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' itacheza mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Djibouti Oktoba 8, 2023 katika Uwanja wa Azam Complex jijini Dar na kurudiana Oktoba 11 katika uwanja huohuo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live