Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tanzania yapoteza kwa penati soka la ufukweni

Tz Soccer Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni

Thu, 18 Nov 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni (Beach Soccer) imepoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Mozambique katika mashindano ya COSAFA yanayoendelea nchini Afrika ya Kusini.

Mchezo huo uliomalizika kwa sare ya magoli 4-4, umeamuliwa kwa njia ya mikwaju ya penati.

Tanzania imepoteza kwa penati 4-3 na mechi yao itayofuata watacheza dhidi ya Comoro saa 10:30 jioni ya leo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live