Thu, 18 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni (Beach Soccer) imepoteza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Mozambique katika mashindano ya COSAFA yanayoendelea nchini Afrika ya Kusini.
Mchezo huo uliomalizika kwa sare ya magoli 4-4, umeamuliwa kwa njia ya mikwaju ya penati.
Tanzania imepoteza kwa penati 4-3 na mechi yao itayofuata watacheza dhidi ya Comoro saa 10:30 jioni ya leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live